Posts

Showing posts from August, 2014

SAD NEWS: MAMA AFARIKI BAADA YA KUJIFUNGUA MAPACHA WATATU HUKO MISUNGWI..SOMA ZAIDI HAPA!

Image
‘Ni kweli tumepokea Watoto watatu ambao ni wachanga wakiwa na kilo 1.7 na 1.8 kutokea Misungwi, mama yao alifariki muda mfupi tu baada ya kuj i fungua na chanzo ni maamuzi yake ya kukataa kupewa matibabu yanayohitajika ambayo ni kufanyiwa Opareshen’ ‘Aliweka saini kabisa ya kukataa kufanyiwa opareshen ili ajifungue kwa kutumia njia hiyo hivyo ikabidi ajifungue kwa njia ya kawaida ambayo ilimfanya atokwe na damu nyingi sana na ndicho kilichosababisha kifo chake’ h i zi ni sentensi za mwanzo kutoka kwa Dr. Baraka Malegesi wa hospitali ya Bugando ambao ndio imewahifadhi hawa watoto kwa sasa. Akihojiwa na Millard, Dr. Malegesi ameendelea kusema ‘tumewapokea watoto na bado tuko nao hapa tunawahudumia vizuri wako na mama yao mdogo lak i ni hali ni ngumu kwa sababu maisha ni magumu kwake na tumejitolea hospitali kuwapa maziwa lakini gharama ni kubwa kwa sababu wiki ni zaidi ya elfu 70 kuwahudumia sasa katika kipato cha chini ndugu zak

NEW UPDATES: KUHUSU YULE MSAIDIZI WA MWINGIRA ALIYEUAWA KWA RISASI MLIMANI CITY!

Image
INASIKITISHA! Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Efatha, Nabii Josephat Mwingira, mw i shoni mwa wiki alimpoteza mkalimani wake, Adson Philip Cheyo aliyeuawa kwa kupigwa risasi katika viwanja vya Mlimani City jijini Dar es Salaam. Mazishi ya ya aliyekuwa msaidizi wa Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Efatha, Nabii Josephat Mwingira , marehemu Adson Philip Cheyo yakiendelea. Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika, Cheyo alikuwa ametoka katika mojawapo ya matawi ya benki mbal i mbali zilizopo eneo hilo lenye shughuli nyingi zilizojaa pilikapilika, akiwa na kiasi cha fedha zinazokadiriwa kuwa shilingi milioni nane. Mwili wa marehemu Adson Philip Cheyo ukiwa kwenye jeneza. Baada ya kuchukua fedha hizo, inadaiwa kuwa mkalimani huyo ambaye hutum i wa zaidi na Nabii Mwingira anapokwenda kuhubiri nje ya nchi, alikwenda sehemu aliyoegesha gari lake na kuingia, lakini kabla hajafanya chochote, vijana wawili walitokea na kumtaka awape fedha alizoshika, kitendo ambac

TAJIRI AFIA GESTI ARUSHA

Image
Tajiri mmoja aitwaye Metili amekutwa amefariki akiwa gesti ya Diamond huko Arusha leo, chanzo kikidaiwa kumeza vidonge vya Viagra.

LOL!! SAKATA LA USHOGA LAMGEUKIA STEVE NYERERE KWA MADAI KUWA YEYE NI SHOGA

Image
Mwenyekiti wa bongo movie Unity, Steve Nyerere amechukizwa na watu wanaotumia mitandao vibaya na kwa kumzushia kuwa ni shoga.   Steve Nyerere kupitia akaunti yake ya facebook ameandika:   Napenda kuchukua fursa hii kuongea machache na kama mtaboa mtu naomba samahani najua binadamu tumezaliwa tofauti sana kuna wale wanaogopa zambi na kunawale wanopenda zambi mimi daima nasema izo ni changamoto tuuu ok nimepata taarifa umu umu kwenye mitandao yetu ya kijamiii hususani huuu kwamba kuna binti anaitwa zainab ananichafua na kuniandika mambo ambayo ayana tija kwangu. Nazani ata kwake kwamba mimi shoga anauhakika hahahahaha nimecheka sana kupata izi taarifa nataka kuwapa taarifa ndugu zangu kuna msemo unasema mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe na mkanya mara moja aache mara moja kwani naimani anapoteza muda tu habari hizo si zakweli kabisa ila namtakia laheli kwahili jambo analonitendea mimi nasema namwachia mola akumbuke nafamily mke na watoto mama dada zangu kiukweli najis

HAYA NDIYO MAJABU YA LADY JAY DEE KUHUSU ISHU YA KUACHANA NA MUMEWE GADNA, INASIKITISHA JAMANI USHAHIDI HUU HAPA...!

Image
  Baada ya tetesi kusambaa nchini ya kuwa Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee ameachana na mumewe Gadner G. Habash, Lady jay dee ameamua kutoa picha ya mkono wake wa kushoto ukiwa na pete kwenye kidole cha shahada ili kuudhibitishia umma ya kwamba hajaachana na mumewa. Picha hiyo aliituma kwenye ukurasa wake wa Facebook na kuandika maneno yanayoshabihiana na picha hiyo japo wataalam wa mambo wamebaini ni njia ambayo ameitumia Komando kueleza umma juu ya Ndoa yake.

PART 2 YA TEGO LA NGONO LA MFANYABIASHARA MAARUFU KARIAKOO. AKIMBIA MJI KWA AIBU HAJULIKANI ALIPO HADI SASA NYUMBANI HAYUPO DUKANI HAYUPO MKEWE ANALIA MASAA YOE..!

Image
Na Mwandishi Wetu Gazeti hili toleo namba 21 la Jumatano wiki iliyopita liliwaletea habari iliyokuwa inasimeka MAFANYABIASHARA MAARUFU KARIKOO ANASAKA TEGO LA NGONO na kuwaeleza wasomaji wetu kuwa hitimisha la taarifa hiyo ni lazima mtuhumiwa Daud John Mpenda apatikane ili kuelezea kwa nini amekuwa akijihusha na matukio ya udhalilishaji kwa wanawake za watu na mabinti wadogo. Timu yetu ile ile iliyofanikisha zoezi la kumnasa mfanyabishara huyo ndiyo iliyoingia mtaani tena kumsaka kwa ajili ya kupata kauli yake lakini katika hali isiyotarajia toka Jumatano siku gazeti lilipotoka wiki iliyopita Bw Daud amekimbia mji kabisa ofisini kwake hapatikani wala nyumbani huku kukiwa na taarifa kuwa amepotea kabisa na hajulikani alipo huku wengine wakisema labda amekimbilia nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa mtu wa karibu na Daud ambae anaishi nae jirani maeneo ya Mbezi Beach aliliambia Maskani Bongo kuwa" Jamani tangu gazeti lenu lilipoanika picha za tukio  lake j

WAKATI SIKU ZIKIHESABIKA KUINGIA UCHAGUZI MKUU 2015 WANANCHAMA WA CCMA ZAIDI YA ELFU 200 WATISHIA KUJIENGUA KISA VIONGOZI WA CHAMA NGAZI ZA JUU KUWATELEKEZA HUKU WAKIWANYANYASIKA BILA MSAADA, ANGALIA HABARI HII YA KUSIKITISHA....!

Image
  Abdulrahman Kinana Nape Nnauye Katika hali isiyokuwa ya kawaida wananchi wa kitongoji cha Nakasangwe mtaa wa madale kata ya Wazo ambao ni wanachama wa CCM wametishia kukihama chama hicho endapo uongozi wa CCM Kitaifa hawatawafika kwenye eneo hilo lenye mgogoro wa Ardhi kati ya mwenyezaji na wao. Wakiongea na waandishi wa habari kituo cha E-FM RADIO hivi karibuni wananchi hao walisema kuwa CCM imewatelekeza bila msaada wowote licha kuwa na taarifa juu ya unyanyasaji wanaofanyiwa na viongozi wa Serikali wa Mkoa wanaodai kuwa anashirikiana na wawekezaji kuwapora ardhi yao. Mmoja wa wananchi hao aliyejitambulisha Mama Jasmin alisema" Sisi tunaishi maisha magumu sana awali walikuja na kutuambia sisi si watanzania lakini uchaguzi uliopita tulipiga kura na baada ya hapo tena wakaja kutuvunjia nyumba zetu wakidai tumevamia eneo hilo lakini ukweli hii si haki hata kidogo tunawaomba viongozi wetu wa CCM Nape Nnauye na  Abdulrahman Kinana waje kutusikiliza pa

ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUPATA KIPIGO CHA WANANCHI BAADA YA KUNASWA AKITAKA KUBAKA MTOTO

Image
Pichani ni mwanamme ambaye hakujulikana jina wala makazi yake aliyenusurika kufa kutokana na kipigo cha wananchi wenye hasira kali baada ya kudaiwa kukuktwa akifanya jaribio la kutaka kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitano jioni ya leo eneo la kata ya Masekelo katika manispaa ya  Shinyanga Baada ya jeshi la polisi kufika Pichani ni jamaa/mwanamme ambaye hakujulikana jina wala makazi yake aliyenusurika kufa kutokana na kipigo cha wananchi wenye hasira kali baada ya kudaiwa kukuktwa akifanya jaribio la kutaka kumbaka mtot o mwenye umri wa miaka mitano jioni ya leo eneo la kata ya Masekelo katika manispaa ya  Shinyanga.Tukio hili linakuja siku moja tu baada ya mazishi ya mtoto Happiness Kashinje mwenye umri wa miaka 9 kubakwa,kutobolewa macho kisha kuuawa na watu wasiojulikana katika kata jirani ya tukio la leo ya Ndala Inaelezwa kuwa Jamaa huyu kakamatwa na wananchi mida ya saa 11,jioni lakini mpaka saa moja usiku alikuwa bado anapewa kipigo na wananchi ha

HABARI KAMILI: WATU KUMI WAMEFARIKI DUNIA NA MAJERUHI SABA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MBALIZI

Image
Viti vikiwa vimeharibika baada ya ajali kutokea    Hivi ndivyo ambavyo Daladala hiyo ilivyojibamiza muda mchache uliopita  Eneo hili la ubavuni ndipo eneo ambalo Daladala hiyo iliingia na Kujigonga  Gari hilo aina ya Tata likiwa limepaki pembeni Muda mchache baada ya kupata ajali hiyo Askari wa usalama wa Barabarani akiwa anatazama na kuchunguza zaidi ajali hiyo Eneo ambalo Daladala hiyo iliyofumuka  Hivi ndivyo Daladala hiyo iliyokuwa ikitoka Mwanjelwa kuja Mbalizi ilivyo  Haribika Baada ya ajali hiyo. WATU kumi wakiwemo watoto wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine saba wamejeruhiwa vibaya katika ajali iliyohusisha magari mawili. Ajali hiyo ilitokea leo majira ya saa nne asubuhi ikihusisha gari ndogo ya abiria maarufu daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace    na gari kubwa aina ya Fuso lenye namba za usajili T 158 CSV.   Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema ajali hiyo ilitokea maeneo

ONA MABEBEZ WA KISWAZI HUKO KWA MSWATI NIM BALAHAAAAA U KNOW WAPO PURE NA LIVE!!

Image

SABABU YA KUFUNGWA JELA KWA MKURUGENZI WA TBS EKELEGE HIZI HAPA LIVE!!

Image
  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja jela Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege na kumwamuru kurejesha Dola za Marekani 42,543 (Sh68,068,800).    Akisoma hukumu hiyo jana, Hakimu Mkazi, Augustina Mmbando alimtia hatiani Ekelege baada ya kupitia ushahidi uliotolewa na mashahidi saba wa upande wa mashtaka, vielelezo na ushahidi wa utetezi uliotolewa na mshtakiwa.   Hakimu Mmbando alisema katika kesi hiyo, upande wa mashtaka ulithibitisha mashtaka yote yanayomkabili Ekelege pasipo kuacha shaka na kumhukumu kifungo hicho.   Mmbando alisema viongozi wapo kwa ajili ya kulinda masilahi na rasilimali za nchi ili wananchi waweze kuifurahia keki ya Taifa na siyo kufuata matakwa yao.   Alisema kiongozi kama Ekelege aliaminiwa na kuteuliwa na Rais ili aweze kuiongoza TBS ambayo ni sehemu ya chanzo cha mapato ya nchi, hivyo kuzembea kwake na kusababisha hasara ya kiasi hic

KENYA YATEKETEZA KILO 370 YA HEROINE

Image
Maafisa wa usalama nchini Kenya walinasa meli kwa jina Amin Darya mwezi uliopita Serikali ya Kenya imeharibu shehena ya mihadarati aina ya Heroine iliyokuwa imenaswa katika bahari hindi huko Mombasa mwezi mmoja uliopita. Hii ni baada ya Rais Uhuru Kenyatta kutangaza hapo jana kuwa shehena hiyo itaharibiwa na kuzamishwa baharini na meli iliyokuwa imeibeba Uharibifu huo wa kilo 370 za heroine ya gharama za ya zidi ya dola milioni 16 za Marekani ulifanyika mwendo wa saa kumi saa za Afrika Mashariki umbali wa maili kumi na nne baharini kutoka katika bandari ya Mombasa. Maafisa wa jeshi la wanamaji walilipua shehena hiyo na kukasikika mlipuko mkubwa baharini kisha meli hiyo ya kigeni aina ya MV Al Noor ikazamishwa. Walioshuhudia uharibifu huo walijumuisha maafisa wakuu wa polisi nchini Kenya, wale wa kitengo cha kukabiliana na mihadarati, wakuu wa idara