ALIYELAWITIWA NA MWANAUME MWENZIE BAADA YA KUFUMANIWA AJIUA, MWENYE MKE AKAMATWA NA POLISI



Yule baba aliyelawitiwa bila kinga na jamaa wawili mwenye mke na rafiki baada yakufumaniwa juzi Mwananyamala Jijini Dar akiwa na mke wa jamaa guest...jamaa kwa fedheha yakufanyiwa unyambilisi huo na picha zake kuwa kwenye mitandao amejiua jana na tayari mmoja wa waliomfanyia unyama huo ambaye ni mume wa mke ambaye alifumania amekamatwa na polisi na mwenzake anatafutwa...picha ni chafu sana kuweka hapa.

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini