Posts

Showing posts from June, 2015

MWANAMUZIKI Diamond Platnumz Ashikiliwa Airport kwa Saa Mbili Kisa Madawa ya Kulevya..

Image
pay per click advertising pay per click advertising Musa Mateja KIBANO! Staa wa Bongo Fleva mwenye jina kubwa Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, juzikati alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya ‘kutaitiwa’ kwa saa mbili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kisa kikiwa wingi wa mabegi (3) makubwa aliyoshuka nayo akitokea nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’, Ijumaa Wikienda linakupa ‘unyunyuz’ kamili. Tukio hilo lililoshuhudiwa hatua kwa hatua na gazeti hili, lilijiri Juni 26, mwaka huu kwenye eneo la kukagulia mizigo ya abiria uwanjani hapo kitendo kilichosababisha Diamond kutokwa na kijasho chembamba. TAFSIRI YA MABEGI MAKUBWA Chanzo chetu kilichokuwa ndani ya jengo la kutokea abiria kililiambia Ijumaa Wikienda kuwa, maafisa ukaguzi wa uwanja huo walimtilia shaka Diamond hivyo ikawalazimu wayakague mabegi hayo hadi ndani lakini pia walimkuta ana upungufu wa stakabadhi za mizigo hiyo. KUHUSU STAKABADHI Kuhusu stakabadhi zisizokuwepo, i

Dotnata Aingilia Ugomvi wa WEMA SEPETU na KAJALA...Amuomba Mungu Haya Yatoke

Image
pay per click advertising ! pay per click advertising Mwigizaji mkongwe, Husna Posh ‘Dotnata’ ameengilia kati ugomvi kati ya mastaa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na Kajala Masanja kuwataka waachane na hali hiyo kwani bifu lao halina faida kwao na katika jamii. Akizungumza na Tanuru la Filama hapo jana, Dotnata alisema kuwa kwa akili ya kibinadamu ugongvi huo hauwezi kuisha kutokana na kila mmoja kumuona mwenzake ndiyo mbaya. Namuomba Mungu kila siku ili Wema amsamehe Kajala na Kajala amsamehe Wema ili maisha yaendelee kwani kwa akili za kibinadamu imeshindikana hivyo na nitaonana nao baada ya maombi yaha kwani natambua hakuna jamabo kubwa lisilo na mwisho, hasira zaozina mwisho” alisema Dotnata. Dotnata pia alimtaka Wema ambaye ni sawa na mwanaye kuwa wa kwanza kumsamehe Kajala kwani kwenye ugomvi ni vizuri mmoja wapo ajishushe na kujona ni mkosaji kinyume na hapo hakuna ambacho kinaweza kufanyika. pay per click advertising

MUHIMBILI: HATUJUI PA KUMPELEKA BABU HUYU!

Image
Na Haruni Sanchawa pay per click advertising Mzee Juma Hamis Juma (70) ambaye amelazwa kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili tangu Mei 24, mwaka huu, amekuwa akilia, akihitaji ndugu zake wafike kumchukua kwani hajui namna ya kuwapata. pay per click advertising Akizungumza na Uwazi mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye hospitali hiyo akiwa amelazwa katika Wodi ya Mwaisela, mzee Juma alisema kuwa ni mkazi wa Unguja, Zanzibar na alitoka huko miaka mingi iliyopita na kufikia katika Mtaa wa Living Stone, Kariakoo jijini Dar. Alisema kuwa baada ya kufika hapo, kazi aliyokuwa akiifanya ni ulinzi ambapo mwajiri wake alishafariki dunia muda mrefu. Alieleza kwamba, hali yake ya kiafya ilibadilika mwishoni mwa Aprili mwaka huu kufuatia kusumbuliwa na kifua, ambapo alipewa msaada na wasamaria wema hadi Hospitali ya Amana jijini Dar. Alisema alipofikishwa Amana alilazwa lakini baada ya muda mfupi alihamishiwa Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi. Alisema yeye ni mwenyeji wa Mkwa

HUWEZI AMINI! Mama Huyu Amla Mtoto Wake Mwenyewe!

Image
pay per click advertising pay per click advertising Kumekuwepo na matukio ya baadhi ya wazazi kuwanyanyasa na hata wengine kuripotiwa kuwaua watoto wao wa kuwazaa wenyewe kutokana na sababu mbalimbali. Headlines nyingine leo zinatokea kule India ambapo mama mmoja amefunguliwa mashtaka baada ya kuripotiwa kumla mtoto wake wa miaka minne huku akiwa  hai.   Pramila Mondal  ambaye anadaiwa  kuwa na matatizo ya akili alifanya kitendo hicho akiwa nyumbani kwake na kukutwa na shemeji yake akiendelea kumla mtoto huyo sehemu mbalimbali za mwili wa mtoto wake huyo ambaye alikuwa wa kike.   Baada ya Polisi kufika na kumshilika mama huyo, mtoto huyo alikimbizwa katika hospitali ya  Malda Medical center  huku akiwekwa katika chumba cha uangalizi maalum kutokana na kuwa na majeraha makubwa.   Polisi walisema pamoja na mama huyo kudaiwa kuwa na matatizo ya akili pia pombe pamoja na madawa vimechangia yeye kufanya tukio hilo. pay per click advertising

LAZIMA UKAE! Maneno ya utani ya Rais Mugabe kwa Obama baada ya kuruhusu ndoa ya jinsia moja…

Image
pay per click advertising   pay per click advertising Ndani ya wiki moja baada ya Serikali ya Marekani kupitisha Sheria ya kuruhusu Ndoa za jinsia moja kwa raia wake kumekuwepo na maoni mbalimbali kutoka kwa watu kuhusiana na maamuzi hayo. Mmoja wa watu walioguswa na maamuzi hayo ni Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe ambaye ameeleza hisia zake baada ya maamuzi hayo kupitishwa. Rais wa Marekani Barack Obama  pay per click advertising Katika mahojiano na radio ya Taifa ya Zimbwabwe, Mugabe alisema hawezi kupingana na maamuzi ya nchi hiyo kwani ni sheria ambayo imepitishwa na Serikali na kama ni hivyo ataamua kufunga safari kwenda mpaka Washington kuomba kufunga ndoa na Rais Barack Obama. Ameongeza kuwa, Serikali ya Marekani imekuwa ikiongozwa na wajinga ambao ni wafuasi wa shetani wanaoitukana taifa la Marekani akisisitiza Marekani imechafuka na wanaiendesha nchi kwa dhana zao binafsi ambazo ni potofu.

Baada ya REAL MADRID Kuikataa Ofa ya MAN UTD, Sergio Ramos Amefanya Uamuzi Huu!

Image
pay per click advertising Wiki moja baada ya ofa ya kwanza ya Manchester United kumsajili Sergio Ramos kukataliwa na Real Madrid, hatimaye mchezaji huyo ambaye yupo mapumzikoni ametoa kauli yake.    pay per click advertising United walituma ofa ya kwanza ya paundi millioni 28.3 kwa Madrid ili kupata saini ya beki huyo wa kimataifa wa Spain, lakini Madrid waliikata ofa hiyo. Hata hivyo baada ya Ramos kugundua Madrid wameikataa ofa hiyo, alichukua uamuzi wa kuwaweka wazi viongozi wa Madrid kupitia wakala wake kwamba – Anataka kuondoka na kujiunga na United na kuiomba Madrid ikubaliane bei na Manchester United.  pay per click advertising  Uamuzi huo wa Ramos umeishtua Madrid, ambao walitegemea wangefanya makubaliano ya mkataba mpya na beki huyo. Madrid wanategemewa kujaribu kumtuliza Ramos na mkataba mnono mpya lakini kaka na meneja wa mchezaji huyo – Rene Ramos ameshaifahamisha Madrid lengo la mteja wake kutaka kuanza maisha mpya sehemu nyingine. Re

UJAUZITO UMENIVURUGA SHEPU YANGU, TIWA SAVAGE!

Image
pay per click advertising Mwanamuziki wa Nigeria,  Tiwa Savage. pay per click advertising Lagos Nigeria MWANAMUZIKI  Tiwa Savage wa Nigeria amelalamika kwamba ujauzito alio nao hivi sasa umevuruga shepu yake hasa kutokana tumbo kujitokeza. Tiwa Savage akiwa na mumewe Tunji ‘Teebillz’ Balogun. pay per click advertising Mrembo huyo ambaye anategemea kumzalia mtoto  mumeweTunji ‘Teebillz’ Balogun, amesema kwenye akaunti yake ya Instagram kwamba pamoja na kufurahia hali hiyo, ujauzito una changamoto zake. “Wakati wote unatamani uzae mtoto umwona na unakuwa unafurahi wakati anapojitingisha tumboni na unapofahamu kwamba sasa amelala.”Ni safari ya kufurahisha tangu ujauzito hadi mwisho wake,” aliandika.

MAAJABU! MAITI YAPUMUA WAKATI IKIOSHWA ILI IVISHWE SANDA, WAOMBOLEZAJI WATIMUA MBIO, MSIBA WAVUNJIKA!

Image
pay per click advertising pay per click advertising Huko mjini Bagamoyo katika eneo lijukanalo kwa jina la Majani Mapana, mwanamama mmoja jana(juzi) aliyetambulika kwa jina moja la Bi. Hatujuani aliyethibitishwa kuwa umauti umekuta, alipumua wakati wakimkosha na kwa matayarisho ya kuvikwa sanda. Bi. Hatujuani aliugua kwa muda na kukimbizwa hosptilai ya wilaya Bagamoyo na baadaye kudhaniwa kuwa ama amepatwa na umauti wa muda mfupi au kupoteza fahamu lakini hospitalini hapo walithibitisha kuwa keshakufa. Mkasa huo ulitokea tarehe 28 Juni 2015 na wanandugu walishachukua maiti na matayarisho ya maziko yakiwa mbioni, turubai lilishafungwa,sanda tayari hadi Juni 29, 2015 wakimkosha maiti Bi. Hatu mwenye umri wa miaka 30, waliokuwa wakimkosha walishtuka maiti kuwa ana joto kali, anatoka jasho na anakunja na kukunjua mikono na miguu, lakini kusema wala kusimama hawezi! Baada ya wanandugu kutangazia umma kuwa msiba hakuna tena bali tuna mgonjwa mahututi. Waliof

KIPA PETR CECH ATUKANWA NA KUTISHIWA KUUAWA BAADA YA KUJIUNGA NA ARSENAL...SHUHUDIA HAPA1

Image
pay per click advertising pay per click advertising   Golikipa mpya wa Arsenal, Petr Cech amepokea vitisho vingi vya kuuawa kutoka kwa mashabiki wanaoaminika kuwa wa Chelsea kupitia mtandao wa Twitter baada ya kutua Emirates kwa dau la paundi milioni 10.   Mashabiki hao hawajafurahishwa na maamuzi ya Cech kwenda timu nyingine ya London, licha ya ukweli kwamba ameitumikia timu yao kwa heshimu ndani ya miaka 11 aliyodumu Stamford Bridge.    Watumiaji wengi wa Twitter wanaoaminika kuwa mashabiki wa Chelsea wamemuita Cech ‘Msaliti ‘ na ‘nyoka’, wakati wengine wakisema ‘Cech atakufa kwao, mvaaji wa Helmet ya nyoka”.  Matusi hayo ya mashabiki kwenye mtandao wa Twitter yamekuja baada ya Cech kujiunga na wapinzani wao wakubwa, Arsenal.  pay per click advertising     pay per click advertising     pay per click advertising   pay per click advertising Shabiki mmoja wa Chelsea anayetumia jina la ‘@Febreezion’ ameenda mbali zaidi akitweet kwamba:  “Iage

PICHAZ: HAYA NDIO MAGARI YANAYOTENGENEZWA TANZANIA!

Image
The Nyumbu truck produced at the Tanzania Automotive Technology Centre Image Source: www.skyscrapercity.com  pay per click advertising Orange Truck pay per click advertising The Nyumbu Tractor  pay per click advertising

HABARI NJEMA! Utatamani kuiona gari ya kifahari iliyotengenezwa Afrika? Nina PICHAZ zake 7 hapa...

Image
pay per click advertising pay per click advertising Ukipita barabarani ni kawaida utakutana na majina ya magari yaliyozoeleka kama Toyota, BMW, Benz, Scania, Suzuki, Honda… Hayo yote ni magari ambayo viwanda vyake viko nje ya Africa. Lakini ninayo good news kwamba huenda tukakutana na brand za magari yanayozalishwa hapahapa Afrika na ni magari ya kifahari kabisa ambayo unaweza kufananisha na  Benz  na BMW ! Gari hii imetengenezwa Ghana, inaitwa  Kantanka 4×4 .. pichaz zake kuanzia inavyoanza kutengenezwa mpaka ilivyokamilika ziko hapa. pay per click advertising pay per click advertising pay per click advertising pay per click advertising pay per click advertising pay per click advertising

TAMKO la SERIKALI Kuhusu Taarifa za UHABA wa MAFUTA!

Image
pay per click advertising Serikali imekanusha taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii, kuwa kuanzia kesho na keshokutwa kutakuwa na uhaba wa mafuta kwenye vituo vya kuuza mafuta. pay per click advertising   Kauli hiyo ya kukanusha imetolewa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini  Charles Mwijage  wakatia kijibu swali lililoulizwa na  Job Ndugai  jana Bungeni, Dodoma.   Ndugai alimtaka Waziri kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa ambazo zinasambazwa kwenye mitandao ya kijamii kwamba kaunzia kesho kutakua na tatizo la upatikanaji wa mafuta na kusababisha shughuli nyingi kusimama.   Mwijage alisema taarifa ambazo wanazo kama Wizara ni kuwa hifadhi ya mafuta ipo ya kutosha na kuwa uhaba wa mafuta hauwezi kutokea kwa kuwa wana uhakika kuwa mafuta yapo ya kutosha.   Alisema hata yeye ameonakwenye mitandao ya kijamii na sasa wanafuatilia ili kujuab chanzo cha taarifa hizo ni nini. lisema iwapo kuna msambazaji au mfanyabiashara atajaribu kufanya hivyo kanuni kanuni na sher

Safari ya LOWASSA Yaisha na Watu Zaidi Ya 800,000

Image
Waziri mkuu wa zamani  Edward Lowassa  amemaliza safari yake ya kusaka wadhamini katika Mikoa yote ya Tanzania na kujikusanyia zaidi ya wadhamini laki 8.   pay per click advertising Lowassa alianza safari ya kusaka wadhamini Juni 4 baada ya kuchukua fomu ya kugombea Urais kupitia CCM na jana amehitimisha safari yake hiyo katika Mkoa wa Morogoro.   Hata hivyo kwa mujibu wa kanuni za CCM, kada anayewania kugombea Urais, anatakiwa kuwa na wanachama waliomdhamini 450 kutoka Mikoa 15 ikiwemo mitatu kutoka Zanzibar. Katika baadhi ya Mikoa ambayo Lowassa alipata wadhamini wengi ni pamoja na  Dar es salaam, Arusha, Morogoro, Pwani, Iringa, Mbeya, Ruvuma , Kilimanjaro, Tanga  na Singida. pay per click advertising

HATIMAYE Mwili wa Mmiliki wa Shule Aliyeuawa Kinyama Jijini Dar Kisha Kutupwa Chooni Wapatikana!

Image
pay per click advertising pay per click advertising Jeshi la Polisi Dar  limebaini mabaki ya mwili wa mmiliki wa shule ya  Mtakatifu Zion, Anna Mizinga  aliyeuawa Desemba mwaka jana na kutupwa kwenye shimo la choo cha shule yake. Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es salaam  Suleiman Kova  alisema  mabaki ya mwili huo yalibainika Juni mwaka huu na tayari watu watatu wanashikiliwa na Polisi wakidaiwa kufanya unyama huo.   Akifafanua juu ya tukio hilo Kova alisema  Februari mwaka huu mtu mmoja alitoa taarifa polisi juu ya kupotea kwa mmiliki huyo tangu Desemba mwaka jana saa 11 jioni na hakuonekana tena.   Alisema mmiliki huyo alindoka nyumbani kwake na gari dogo aina ya Verosa akiwa na mtu mmoja ambaye naye ni miongoni mwa watuhumiwa wanaoshikiwa na jeshi hilo na abada ya taarifa hiyo walifungua jalada la uchunguzi na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa hao.   pay per click advertising Alisema mtuhumiwa wa kwanza alikamatwa Uchira, Moshi na kuwataj

MWALIMU Mstaafu Aliyembaka Mjukuu Wake Huko Mpanda, Katavi Atupwa Jela Maisha!

Image
pay per click advertising pay per click advertising Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, Katavi imemuhukumu mwalimu mstaafu wa shule ya msingi  Mpanda Ndogo ,  Rashid  Ndogo  mwenye miaka 65 kifungo cha maisha jela baada ya kumbala mjuu wake wa miaka mitano na kumuharibu vibaya sehemu zake za siri. Hukumu hiyo ilitolewa jana na hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Mpanda,  Chiganga Ntengwa  baada ya mahakama kuridhika na ushahidi uliotolewa na pande zote mbili za mashtaka na utetezi.   Awali katika kesi hiyo mwendesha mashtaka alidai mahakamani kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Oktoba mwaka jana majira ya saa 2 na nusu usiku nyumbani kwake katika kijiji cha Majalila. pay per click advertising Siku hiyo mshatakiwa alidaiwa kumbaka mjuu wake wakati amelala chumbani akiwa na mtoto wa mshtakiwa ambaye alishugudia baba yake akitenda kosa hilo la kinyama.   Siku ya tukio mke wa mshatakiwa alimwaga mume wake kuwa amekwenda kufunga zizi la mbuzi lililokuw

NAY WA MITEGO: Sitaki Watoto Wangu Wasome kwa Shida Ndiyo Maana Nimewanunulia Gari Hili la Kuwapeleka Shule.

Image
pay per click advertising pay per click advertising Staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego amefunguka kuwa hataki watoto wake,Curtis na Munie wasome kwa shida kama yeye alivyosoma kwa tabu,ndiyo maana amewanunulia gari la kuwapeleka shule.   pay per click advertising Akipiga stori na Clouds FM,alisema kuwa gari hilo lina vitu muhimu ndani kama meza ya kulia chakula,sinki la kunawia mikono,kitanda cha kulalia,TV na huduma nyingine ambalo wataanza kulitumia mwakani.   pay per click advertising ‘’Unajua mimi nilisoma kwa shida sana,sasa sitaki watoto wangu wapate shida ndiyo maana nimewanunulia gari la kuwapeleka shule wataanza kulitumia mwakani,na nitaajiri dereva wa kuwapeleka shule,’alisema Nay.

BREAKING NEWS: Shuhudia Ajali ya ndege ya Kijeshi iliyotokea muda mfupi uliopita kwenye makazi ya watu Indonesia…[PICHAZ]

Image
pay per click advertising pay per click advertising Kama uko karibu sana na TV za Kimataifa kama BBC, Sky News na CNN utagundua kwamba kwenye stori kubwa zilizopewa headlines sana iko ya Shambulio la Kugaidi lililotokea Tunisia na kusababisha mauaji ya Watalii.. Breaking News imeingia nayo kwenye stori kubwa zilizo kwenye headlines sasahivi, inahusu Ndege ya Kijeshi kuanguka kwenye makazi ya watu Indonesia na watu 30 wamefariki. pay per click advertising Ndege hiyo ilipata ajali muda mfupi baada ya kuruka kutoka kwenye Uwanja wa  Medan Polonia Airport .. ndani ilikuwa imebeba jumla ya watu 12, ndege imeanguka kwenye mtaa ambao una makazi ya watu pamoja na Hoteli, gari moja pia limewaka moto baada ya kutokea ajali hiyo.. eneo lote la ajali limeshika moto. pay per click advertising Wenyeji wa eneo hilo wamesema hii ni mara ya pili kwa nyumba za eneo hilo kuangukiwa na ndege, iliwahi kuanguka Boeing 737 mwaka 2005 ikaua watu 143 na kati yao watu 3