USAJILI ULAYA: CHELSEA Yazipiga Bao Manchester United na FC Barcelona Kwa Kinda Huyu Kutoka Brazil!

kenn

Wakati klabu mbalimbali barani Ulaya zikiendela na harakati zake za kufanya usajili ili kuimarisha timu zao kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu ya Engalnd, tayari kuna taarifa kuwa klabu ya Chelsea ipo katika hatua za mwisho kunasa saini ya  mchezaji wa Brazil Robert Kenedy Nunes do Nascimento. 

Licha ya klabu mbalimbali zimeonyesha nia ya kutaka saini ya mchezaji huyo ikiwemo Manchester United na Barcelona lakini tayari klabu ya Chelsea imewazidi ujanja.
Kennedy mwenye miaka 19 atajiunga na wabrazil wenzake Willium, Ramires, Oscar, Fillipe Luis na Diego Costa.

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini