Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Meli ya uokoaji
Waokoaji wamekuwa wakipambana na upepo mkali pamoja na mawimbi ya bahari gizani kuwakoa karibu abiria 300 ambao wamekwama ndani ya ferry moja ya Italia iliyokuwa imeshika moto kwenye bahari ya Adriatic.
Maofisa nchini Italia wanasema kuwa oparesheni ya uokoaji itandelea.Hadi sasa watu 190 wamekolewa kutoka kwa ferry hiyo.

Popular posts from this blog

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini