MACHINGA NA POLISI WALETA TAFLANI KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM JANA


Askari Polisi wakiwapakia baadhi ya Wafanyabiashara ndogo ndogo(MMACHINGA) walioleta vurugu maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam leo.
 Mkazi wa jiji akisaidiwa na wasamalia wema baada ya kuzimia kutokana na kupatwa na mstuko baada ya Polisi kupiga Mabomu katika sakata hilo.
 Mkazi wa jiji akisaidiwa na wasamalia wema baada ya kuzimia kutokana na kupatwa na mstuko baada ya Polisi kupiga Mabomu katika sakata hilo.
 Baadhi ya Mashuhuda wakisaidia Mkazi huyo kuhakikisha anapelekwa katika kupata Huduma ya kwanza.
Msamaria akiwa na Mkazi huyo wa jijini baada ya purukushani za Machinga dhidi ya Polisi jijini Dar es Salaam leo.

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini