KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KAMA ANGELIJUA KESHO YAKE ANGESIMAMISHWA KAZI SIDHANI KAMA ANGEKUWEMO KWENYE HOTUBA YA JK

Katibu Mkuu wizara ya nishati na madini, Eliakim Maswi, aliyesimamishwa, akitafakari jambo, wakati Rais Jakaya Kikwete akihutubia taifa kupitia wazee wa jiji la Dar es Salaam, kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Jumatatu Desemba 22, 2014
Katibu Mkuu wizara ya nishati na madini, Eliakim Maswi, aliyesimamishwa, akifuatilia hotuba ya Rais Jakaya Kikwete
Katibu Mkuu wizara ya nishati na madini, aliyesimamishwa, Eliakim Maswi, akielekea kwenye gari lake wakati akitoka ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, JumatatuDesemba 22, 2014, baada ya kusikiliza hotuba ya Rais Jakaya Kikwete. Picha kwa hisani ya K-VIS Blog.

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini