PICHA ZINATISHA:MMILIKI WA SAMAKI SAMAKI 'NYUMBANI PARK' AVAMIWA KUJERUHIWA NA KUPORWA FEDHA MOROGORO!!!


Sehemu alizoathirika

Mkurugenzi mtendaji wa Nyumbani Park & Samaki Sport Farida mess Matlou alivamiwa na majambazi na kumjeruhi. Tukio hilo la aina yake lilitokea wiki iliyopita usiku wa tarehe 19 kuamkia 20 maeneo ya nyumbani kwake Kihonda.

Kwa taarifa zilizofikia mtandao huu ni kwamba tayari watu wawili wamekatwa kuhusishwa na tukio hilo Mkurugenzi huyu alivamiwa usiku wa saa saba!

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini