PICHA:MAHABUSU AFARIKI AKIJARIBU KUTOROKA KATIKA MAHAKAMA YA KISUTU

Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba kuna mahabusu alikuwa akijaribu kutoroka kutoka katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu lakini mbinu yake hiyo haikuzaa matunda na hatimaye kuweza kudhibitiwa kwa kupigwa risasi na vyombo vya usalama na kufia hapo hapo. Hizi ni picha zilizochukuliwa kutoka eneo la tukio. 







Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini