UJAUZITO UMENIVURUGA SHEPU YANGU, TIWA SAVAGE!

Mwanamuziki wa Nigeria,  Tiwa Savage.

Lagos Nigeria
MWANAMUZIKI Tiwa Savage wa Nigeria amelalamika kwamba ujauzito alio nao hivi sasa umevuruga shepu yake hasa kutokana tumbo kujitokeza.
Tiwa Savage akiwa na mumewe Tunji ‘Teebillz’ Balogun.
Mrembo huyo ambaye anategemea kumzalia mtoto  mumeweTunji ‘Teebillz’ Balogun, amesema kwenye akaunti yake ya Instagram kwamba pamoja na kufurahia hali hiyo, ujauzito una changamoto zake.
“Wakati wote unatamani uzae mtoto umwona na unakuwa unafurahi wakati anapojitingisha tumboni na unapofahamu kwamba sasa amelala.”Ni safari ya kufurahisha tangu ujauzito hadi mwisho wake,” aliandika.

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini