HOT SEXY PHOTOS: KUTANA NA BABY MAMA WA MSANII BEN POL...NI MISS TANZANIA NAMBA 2 (2013)


Ben pol ni msanii ambaye nadra sana kuingia kwenye headlines za mapenzi ya mastaa wa bongo pia ni miongoni mwa wasanii wasioweka hadharani mahusiano yao ya kimapenzi .

Lakini safari hii huyo wa 'unanichora' amepost picha iliyozua maswali mengi, Lakini yote yakihitaji jibu moja tu 'Huyu ndiye 'baby' wa Ben pol?


Katika picha ben pol anaonekana kifua wazi huku pembeni yake akionekana mrembo aitwaye Latifah Mohamed ambaye alikuwa ni mshindi wa pili miss Tanznia mwaka 2013.

Miss Tanzania namba 2 mwaka 2013 Latifah mohamed katika pozi tofauti tofauti.

Latifah akiwa ufukweni mwa bahari anakula raha.

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini