AJALI MBAYA DODOMA! COASTER YAGONGA TRENI. SHUHUDIA


Basi la abiria aina ya Toyota Coaster likiwa limepinduka baada ya kuigonga treni.
Taswira baada ya ajali hiyo.
Wananchi wakiwa eneo la ajali hiyo. Basi la abiria aina ya Toyota Coaster lenye namba za usajili T 932 AFU linalofanya safari zake kati ya Nanenane na Ng'ong'ona mkoani Dodoma limepata ajali leo baada ya kuligonga treni na kupinduka maeneo ya Benki Kuu mkoani humo.

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini