Kwa Kasi Hii ya Rais MAGUFULI, Mastaa Wamekwisha!

Komediani maarufu Bongo,Steven Mengere ‘Steve Nyerere’.
 Na Imelda Mtema
 NENO! Komediani maarufu Bongo,Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amefunguka kuwa kwa kasi na kauli mbiu ya Rais John Magufuli ya ‘Hapa Kazi Tu’, mastaa ambao hawatajishughulisha kufanya kazi watakuwa wamekwisha maana wataikimbia fani wenyewe.
 Steve aliliambia gazeti hili kuwa, katika kipindi hiki kama msanii hatafanya kazi kwenda sawa na kauli ya Magufuli itakuwa ni shida kuendesha maisha kwa kutegemea sanaa.

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini