HOT SEXY PHOTOS: KUTANA NA BABY MAMA WA MSANII BEN POL...NI MISS TANZANIA NAMBA 2 (2013)
Ben
pol ni msanii ambaye nadra sana kuingia kwenye headlines za mapenzi ya
mastaa wa bongo pia ni miongoni mwa wasanii wasioweka hadharani
mahusiano yao ya kimapenzi .
![](//1.bp.blogspot.com/-IESee0Le1EM/VACaI8JBRSI/AAAAAAAAj2U/NA4quETGOlc/s1600/Benpol1.jpg)
Lakini safari hii huyo wa 'unanichora' amepost picha iliyozua maswali mengi, Lakini yote yakihitaji jibu moja tu 'Huyu ndiye 'baby' wa Ben pol?
![](//1.bp.blogspot.com/-VOw6o7xzsoY/VACaI4ZrZFI/AAAAAAAAj2Q/-xfMpPQgX_c/s1600/Ben-PolV.jpg)
Katika picha ben pol anaonekana kifua wazi huku pembeni yake akionekana mrembo aitwaye Latifah Mohamed ambaye alikuwa ni mshindi wa pili miss Tanznia mwaka 2013.
Miss Tanzania namba 2 mwaka 2013 Latifah mohamed katika pozi tofauti tofauti.
![](//3.bp.blogspot.com/-eoObQZTnw9g/VACaLZawj8I/AAAAAAAAj2s/PtgZU-4TIA0/s1600/latifa3.jpg)
Latifah akiwa ufukweni mwa bahari anakula raha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-IESee0Le1EM/VACaI8JBRSI/AAAAAAAAj2U/NA4quETGOlc/s1600/Benpol1.jpg)
Lakini safari hii huyo wa 'unanichora' amepost picha iliyozua maswali mengi, Lakini yote yakihitaji jibu moja tu 'Huyu ndiye 'baby' wa Ben pol?
![](http://1.bp.blogspot.com/-VOw6o7xzsoY/VACaI4ZrZFI/AAAAAAAAj2Q/-xfMpPQgX_c/s1600/Ben-PolV.jpg)
Katika picha ben pol anaonekana kifua wazi huku pembeni yake akionekana mrembo aitwaye Latifah Mohamed ambaye alikuwa ni mshindi wa pili miss Tanznia mwaka 2013.
Miss Tanzania namba 2 mwaka 2013 Latifah mohamed katika pozi tofauti tofauti.
![](http://3.bp.blogspot.com/-eoObQZTnw9g/VACaLZawj8I/AAAAAAAAj2s/PtgZU-4TIA0/s1600/latifa3.jpg)
Latifah akiwa ufukweni mwa bahari anakula raha.