BLATTER ASHINDA TENA URAIS WA FIFA

Sepp Blatter baada ya ushindi.
Blatter akiwa na mpinzani wake Prince Ali bin al-Hussein wa Jordan.
SEPP Blatter ameshinda tena Urais wa FIFA kwa awamu ya tano baada ya kumshinda mpinzani wake Prince Ali bin al-Hussein wa Jordan.

Blatter amepata kura 133 dhidi ya 73 za mpinzani wake huyo katika raundi ya kwanza ya kinyang'anyiro hicho kilichofanyika nchini Uswizi leo licha ya kukumbwa na skendo za ufisadi.

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini