Lemutuz Awapa Makavu Laivu Wabongo wa Hapa na wale Waishio Nchi za Nje Wenye CHUKI, WIVU, FITINA, NA HUSDA


Ok I love talking reality kwa mfano niliamua kwenda Ulaya mwenyewe nikapigana mpaka nikaenda mipango yangu ya kwenda kwa kuogopa isiharibike nikaifanya kwa siri sana sikumuambia hata Baba yangu mzazi na siku moja nikaondoka na Sabena Airways enzi hizo mpaka Belgium ndio nikawashitua Washikaji kuwa nipo MBELEZZ hahahha....wiki iliyofuata nikaanza kusikia maneno ya kutisha na kunichafua from my very close friends wakasema na wakaapa sitaweza kuishi Majuu hahaha nikaishia kuishi miaka 30 na Degree 3 juu ya gademu kichwa changu walichokuwa wanakiponda sana.... ok one day baada miaka 30 majuu nikaamua kurudi home sweet.home bongo kule majuu sikumuaga mtu walahi washikaji wangu kabisa wabongo kule majuu walipojua nimekirudisha wakaanza matusi mazito na mpaka my ex wife wakaapa kwamba siwezi kuishi bongo nitageuza tu majuu..hahahah guess what nipo hapa Mwaka wa.4 sasa na wanaisoma at Social Media kila.siku habari yangu hahahaj na thanks God nipo vizuri.....now seriously naomba kuuliza Wabongo tuna nini hasa kinachotusumbua mioyoni mwetu mpaka tunakuwa na CHUKI, WIVU, FITINA NA HUSDA hivi I mean hata walioko majuu ungetegemea wamebadilika.lakini wapi WHY TUKO HIVI na TULIFIKAJE HUKO KWENYE ROHO NYEUSI.HIVI? - le Mutuz

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini