Lowassa Acharuka 'Pekua Unapoweza, Niletee Sehemu Moja tu yenye Ushahidi wa Sauti ya Mwalimu Nyerere Kunikataa..Zawadi Sh Milion 20'

Watu wabaya jamani...mzee wa watu watu wanamzushia kinoma ili tu asiwe rais...yaani mpaka kuna wanao sema Nyerere alimkataaa..sasa yeye kasema hayo zawadi hiyo changamkia ...

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini