AJALI MBAYA YA GARI LA ABIRIA YATOKEA MOSHI

Hii ndiyo Hiace inavyoonekana mara baada ya kupata ajali





Kwa
mujibu wa ripota wa eddy blog aliyefika eneo hilo amesema ajali hiyo
imetokea majira ya saa 11 jioni na abiria kadhaa wamejeruhiwa na
kukumbizwa hospitali kwa matibabu zaidi huku abiria mmoja akihisiwa
kufariki dunia katika ajali hiyo
Hizi ni
taarifa za awali na eddy blog inaendelea kufuatilia taarifa za ajali
hiyo ili uzipate kwa uhakika, endelea kuwa nasi mara mara
Picha na Thade Expensive wa eddy blog, Moshi