AJALI YATOKEA BARABARA YA MOSHI - ARUSHA


Polisi wa usalama barabarani akiliangalia kwa karibu moja ya gari lililoharibika vibaya katika ajali iliyotokea mchana huu katika eneo la Sadal njia ya Moshi - Arusha.Gari la kubebea wagonjwa 'Ambulance' kutoka KCMC likiwa limeharibiwa vibaya baada ya ajali hiyo.Raia wakishudia ajali hiyo.
(PICHA NA GPL)

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini