Hizi ni Tabia Sugu za Wanaume wa Kibongo

TABIA SUGU ZA WANAUME WA KIBONGO
1. Ukali
2. Ulevi
3. Kuchelewa kurudi nyumbani
4. Kupenda marafiki kuliko familia
5. Umalaya
6. Kuficha mambo yao ya maendeleo
7. Kupenda hawara kuliko mke
8. Ubabe
9. Ubishi
10. Kusafiri bila kuaga wake zao zaidi huaga nyumba ndogo
11. Uchoyo
12. Bajeti kali nyumbani kwenye bar na nyumba ndogo ipo juu
13. Kusaidia watu baki kuliko ndugu zao
14. Kosa dogo ndani ya nyumba kelele nyingi
15. Hupenda kutoa sana ofa bar hasa akiwa na demu
16. Anapenda kuchapa nje ila akichapiwa mtajua watu wote
17. Akikusaidia mshikaji lazima akutangaze
18. hapendi kutoka na mkewe kwenye party
19. Simu yake ina nywila nyingi sana
20. Simu yake hataki iguswe lakini yeye aguse ya mkewe

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini