Jimbo la Tanga Mjini: Matokeo Rasmi ya Ubunge Haya Hapa
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
-
Jimbo la Tanga Mjini: Mussa Mbarouk wa CUF, ameshinda kwa jumla ya kura 58675 dhidi ya mpinzani wake wa karibu Omari Nundu wa CCM, aliyepata kura 57014
Meli ya uokoaji Waokoaji wamekuwa wakipambana na upepo mkali pamoja na mawimbi ya bahari gizani kuwakoa karibu abiria 300 ambao wamekwama ndani ya ferry moja ya Italia iliyokuwa imeshika moto kwenye bahari ya Adriatic. Maofisa nchini Italia wanasema kuwa oparesheni ya uokoaji itandelea.Hadi sasa watu 190 wamekolewa kutoka kwa ferry hiyo.
Wanafunzi wa shule za msing i mkoani Geita wamewalalamikia walimu wao kufanya kazi migodini na kuendesha bodaboda, hali inayosababisha wafeli kutokana na kutofundishwa darasani. Hata hivyo, Ofisa Elimu, Mkoa wa Geita, Eufransia Buchuma alisema juzi kuwa walimu hukimbia vipindi hali inayodhorotesha ufaulu. “Tumeweka mikakati kwa kila walimu wakuu wote kutoa taarifa kuhusu watakaoshindwa kuhudhuria vipindi au kuwa watoro, kisha hatua za kinidhamu zitachukuliwa kwa mujibu wa taratibu za kazi,” alisema Buchuma. Wakizungumza hivi karibuni, baadhi ya wanafunzi walisema hawamalizi silabasi kutokana na walimu kutokuwapo kwani siku nyingine wanarudi nyumbani bila kusoma. “Walimu hawafundishi, mnaweza kukaa wiki nzima bila mwalimu kuingia darasani, siku nyingine zote haumuoni au anakuja kusaini kisha anaondoka,” alisema mwanafunzi Retias Devid. Alisema walimu wengine wanafanya shughuli zao migodini, hivyo mwitikio wa kufundisha unakua mdogo. “Hata wakifundisha ha