Pale ambapo Walimu waliamua kujinyonga kwa kukosa mshahara Kenya..





Kulikuwa na ripoti mfululizo kuhusu ishu ya migomo ya Walimu Kenya wakidai nyongeza ya mishahara… hiyo ni moja ya stori ambayo imeripotiwa sana wiki chache zilizopita.

Moja wa mabango yaliyobebwa ba Walimu wakiwa kwenye mgomo Kenya.

Chama cha Walimu Kenya kimeifikisha taarifa kwenye Vyombo vya Habari kwamba walimu wanne ambao ni wanachama wa chama hicho, KNUT wamejiua kwa kujinyonga wakidai madai yao ya kulipwa mshahara wao wa mwezi September kipindi ambacho Walimu hao walikuwa wamegoma.

“Wanachama wetu wanaishi kwenye hali ngumu sana, hiyo imesababisha wengine wajiue” >> hiyo ni nukuu ya alichokisema John Mathiangi, Mhasibu wa Chama cha Walimu KNUT.

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini