Wananchi Wachomwa Moto Ofisi ya Kata Jijini Dar Baada ya Kucheleweshewa Matokeo


Ofisi ya kata ya Sandali ya Temeke Mikoroshini jijini Dar es Salaam imechomwa moto baada ya wananchi kudai kutangaziwa matokeo,hali iliyozusha hofu na jeshi la polisi kupiga kambi eneo hilo kwa ajili ya ulinzi,ambapo jeshi la zimamoto limefanikiwa kuzima moto huo.

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini