Dalili za ugonjwa wa vidonda vya tumbo





Dalili zitakazokufanya ujihisi una vidonda vya tumbo ni pamoja na;
Kuchoka choka sana bila sababu maalum
Kuuma mgongo au kiuno
Kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu za kijinsia
Kizunguzungu
Kukosa usingizi
Usingizi wa mara kwa mara
Maumivu makali sehemu ya mwili
Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma kama sindano yenye sumu na kuacha maumivu makali
Kichefuchefu
Kiungulia
Tumbo kujaa gesi
Tumbo kuwaka moto
Maumivu makali sehemu kilipo kidonda
Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika kama cha mbuzi
Kutapika nyongo
Kutapika damu au kuharisha
Sehemu za mwili kupata ganzi
Kukosa hamu ya kula
Kula kupita kiasi
Kusahahu sahau na
Hasira bila sababu.

Kwa kweli ni vigumu kueleza maumivu yote apatayo mgonjwa wa vidonda vya tumbo hasa kwa mwenye vidonda sugu kwani hakuna hata kiungo kimoja mwilini atakachokuambia ni kizima.

ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini