CHADEMA Wamsahau Dk.wilbroad Slaa...Kisa LOWASSA! Shuka Nayo Hapa!

Hili limejitokeza mara baada ya Lowassa kutangaza kuingia UKAWA kupitia CDM, Kufuatia jambo hili upepo wa Dk.Slaa kupendwa na kuaminiwa na wana CHADEMA unaelekea ukingoni kufuatia ingizo jipya, na huenda asisikike tena katika mbio za uchaguzi mkuu akiwa mgombea wa urais wa chama hicho kufuatia wengi kumsahau kuanzia viongozi na wanachama wa chama hicho na sasa ni historia tu!

Dk. Slaa Kwa takribani miaka 10 ya uongozi wake amekuwa muhimili wa CHADEMA na amekua kipenzi cha Wafuasi wa chama hicho hasa vijana kwa ahadi zake na utumishi wake!

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini