Msafara wa Edward LOWASSA Wazuiwa Muheza na Korogwe [PICHAZ]


Msafara wa Mgombea wa Ukawa, Edward Lowassa umesimamishwa na maelfu ya watu Muheza..... Lowassa alikuwa anatoka Tanga... 
Umati wa watu ni mkubwa sana sana hapa Muheza....
Haijawahi kutokea 

Kwa mtiririko huu nawaambia ndugu zangu - Lowassa ni RAIS. Nasema hivyo kwa sababu kama na Tanga, Dodoma na Morogoro wamegeuza upepo basi uchaguzi umeshaisha kabla haujaanza.

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini