NDOA YA LADY JAY DEE KUSHINEI... NA HUU NDIO UDHIBITISHO




Huku wakiendelea kugoma kuwa wameachana siri ya ndani ambayo inazidi kufumuka kwa mastaa wawili ambao wemetengana kinyumba ambao ni mwanamuziki Judith Wambura’Lady Jay Dee’na mtandazaji kiwango Gardner G Habash.

Taarifa za hivi zinaeleza kuwa Jaydee ameanza kumfuta Gardner kwenye urithi wa mali mbalimbali ili baadae wasije kuleteana shida kwenye mgao.
Chanzo cha ndani kinasema kuwa tayari Jaydee ameshauza nyumba moja huko kimara na ula mgahawa wa Nyumbani Lounge ambao aliutangaza kuufunga sasa anaufungua kwa jina la Mog Bar& Reutsaurant
“Kiukweli ni kwamba hawa jamaawameachana rasmi ila hawataki hili lijulikane kwa upande wa Lady Jaydee

ameanza kulihakiki mali zote walizokuwa wakishea na Gadner kwa ajili ya kuzipa umiliki wake,tayari nyumba moja wameshauza na sasa amekodi upya ule mgahawa wa Nyumbani Lounge na utaanza kazi rasmi” chanzo hicho.
na kwa upande mwingine ladyjaydee amemtimua kazi rasmi Gadner kama meneja wake na sasa kazi zote zinazimamiwa na Rapa Wakazi
Credit : Udaku Specially

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini