PICHAZ: LOWASSA AITIKISA MUFINDI IRINGA, ASIMAMISHA SHUGHULI KWA MASAA KADHAA!




Pichaz na maelezo zaidi vitawajia hivi punde hapa hapa!
NEWS UPDATES: Waziri wa muda mrefu wa Elimu Joseph Mungai na mkewe wamekihama Chama cha Mapinduzi na kujiunga na Chadema huko Mafinga leo. 
Hii ni baada ya Mgombea Urais wa Ukawa Edward Lowassa kuingia Iringa leo!

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini