PICHAZ: MGOMBEA MWENZA WA LOWASSA, JUMA DUNI HAJI AFUNIKA MTWARA!


Mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji akisalimiana na wakazi wa wilaya ya Newala baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Diesel mkoani Mtwara.

Mgombea Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Juma Duni Haji akiwahutubia mamia ya wakazi wa kakazi wa mjini Mtwara katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Mashujaa mjini Mtwara.

Mamia ya wakazi wa Mtwara wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Ukawa uliohutubiwa na mgombea Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Juma Duni Haji katika uwanja wa Mashujaa Mtwara.

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini