Picha 20 Shilole, Linah, Baba Levo walivyoidondosha burudani Zanzibar



Jan 2 2016 mastaa wa Bongo Shilole, Linah, Baba Levo, Bonge la nyau, Bill Nas na wengine walijumuika Zanzibar na kutoa burudani ya kufungulia mwaka.

Hapa nakukutanisha na matukio mbalimbali katika picha kwenye show hiyo.

.

Bonge la nyau na Shilole

Mashabiki wakifuatilia burudani


Baba Levo na Shilole


Shilole kwenye stage na mashabiki




Bill Nas na Shilole kwenya stage







Linah Kipewa support na mashabiki


ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

Popular posts from this blog

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Walimu wadaiwa kuacha vipindi kukimbilia kufanya kazi migodini