STAA Huyu Naye Aondoka Rasmi MANCHESTER UNITED
Kocha Louis van Gaal ameendelea kusafisha timu kwa kuuza wachezaji au kuwatoa kwa mkopo. Baada ya mchana wa leo kumtoa kwa mkopo Januzaj, jioni hii klabu ya Manchester United imemuuza mshambuliaji wake Javier “Chicharito” Hernandez.