MWANASHERIA NA WAKILI MAARUFU APANDISHWA KIZIMBANI ARUSHA KWA MAKOSA 42

Mbali ya Mwale wengine walioshitakiwa na mwanasheria huyo ni pamoja
na Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Mapato jijini Arusha, Boniface Thomas
mwingine ni mfanyabiashara wa jijini Nairobi, DonBosco Gichana, Bob
James Onderi na Elias Ndejembi.
Katika kesi ya msingi iliyosomwa Agosti, 2011, Mwale na wenzake
walisomewa mashitaka 30 na wakili mwandamizi wa Serikali, Frederick
Manyanda na ilidaiwa kuwa mtuhumiwa huyo na wenzake wanatuhumiwa
kujipatia zaidi ya Sh 18 kwa njia haramu ya utakatishaji fedha haramu
ikiwa ni pamoja na kughushi nyaraka na kuhujumu uchumi